News and Events Change View → Listing

Mhe Balozi Caesar Waitara afanya mahojiano ya uzinduzi rasmi wa kuionesha Royal Tour Film kupitia Television ya Taifa ya Namibia Broadcasting Corporation (nbc)

Leo tarehe 27 Juni 2024 Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amefanya mahojiano ya uzinduzi rasmi wa kuionesha Royal Tour Film kupitia Television ya Taifa ya Namibia Broadcasting…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara ameshiriki na kushuhudia ukabidhiwaji kijiti kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar

Leo, 21/6/24 Mhe Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ameshiriki na kushuhudia ukabidhiwaji kijiti kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar na Kamisheni ya Utalii Zanzibar kuwa wenyeji wa…

Read More

Mhe. Balozi afanya kikao kazi na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Namibia

Leo tarehe 15/06/2024, Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amefanya kikao kazi na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Namibia. Lengo lilikua ni kujadili masuala mbalimbali yanayowahusu…

Read More

Mhe. Balozi amekutana kwa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Namibia, Mhe Dkt. Netumbo Nandi Ndaitwah kutoa Mrejesho wa Jukwaa la kwanza la Biashara na Uwekezaji kati ya Namibia na Tanzania.

Leo tarehe 1/6/2024, Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana kwa mazungumzo na Makamu wa Rais wa Namibia, Mhe Dkt. Netumbo Nandi Ndaitwah ofisini kwake kwa lengo la kutoa mrejesho wa…

Read More

The Tanzanian Embassy in Namibia coordinated the Tanzania and Namibia Business & Investment Forum

The Tanzanian Embassy in Namibia coordinated the Tanzania & Namibia Business and Investment Forum held in Windhoek on May 30, 2024. The Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs responsible…

Read More

Mhe. Stephen Mbundi Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akutana na Balozi Penda Naanda, Katibu Mkuu , Wizara ya Mambo ya Nje ya Namibia

Leo tarehe 31/5/2024, Mhe. Stephen Mbundi Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amekutana na Balozi Penda Naanda, Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje ya Namibia katika Wizara…

Read More

Mhe. Balozi akutana na Katibu Mkuu Kiongozi wa Namibia pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo

Leo tarehe 28/3/2024 Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Katibu Mkuu Kiongozi wa Namibia pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo ya Namibia kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara afunga mafunzo na kutoa vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya masuala ya hali ya hewa wa Namibia

Leo tarehe 18/03/2024 Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amefunga mafunzo na kutoa vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya masuala ya hali ya hewa wa Namibia. Mafunzo hayo yalitolewa na wataalam…

Read More