Mhe. Stephen Mbundi Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akutana na Balozi Penda Naanda, Katibu Mkuu , Wizara ya Mambo ya Nje ya Namibia
Leo tarehe 31/5/2024, Mhe. Stephen Mbundi Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amekutana na Balozi Penda Naanda, Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje ya Namibia katika Wizara…
Read More






