Balozi Caesar Waitara Aadhimisha Miaka 62 ya Muungano na Watanzania waishio Kaskazini mwa Namibia
Tarehe 3 Mei 2026, Mheshimiwa Balozi Caesar Chacha Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia aliungana na Jumuiya ya Watanzania wanaoishi Kaskazini mwa Namibia, katika mji wa Oshakati, Mkoa wa Oshana, kuadhimisha miaka 62 ya… Read More







