News and Events Change View → Listing

Ubalozi watembelewa na (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki (Anayesimamia masuala ya EAC) Mhe. Dennis Londo

Leo tarehe 28 Februari, 2025. Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia umepata fursa ya kutembelewa na Mhe. Dennis Londo (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ( Anayesimamia masuala…

Read More

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango awasili nchini Namibia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek nchini Namibia leo tarehe 27 Februari 2025. Makamu wa Rais…

Read More

Mhe. Balozi ampokea Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM

Leo tarehe 26 Februari, 2025 Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amempokea Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM ambaye amewasili nchini Namibia kuomboleza na wananchi wa…

Read More

Delegates from Tanzania attending a three-day benchmarking visit on Public Diplomacy at the Ministry of International Relations and Cooperation (MIRCO)

A three-member delegation from the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation of the United Republic of Tanzania consisting of Amb. Mindi Kasiga, Head of Government Communication Unit and Ms.…

Read More

Balozi Mindi Kasiga, Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali akutana na Mheshimiwa Balozi Caesar Waitara

Leo tarehe 1 Octoba 2024, Balozi Mindi Kasiga, Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serkali amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia kuhusu ziara ya…

Read More

HESLB yatembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia

Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia umepata wasaa wa kutembelewa na ujumbe kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ya Tanzania (HESLB) ambayo ipo katika ziara ya kikazi nchini Namibia. Lengo la…

Read More

Dkt. Susan A. Kolimba, aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki atembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia

Leo tarehe 1 Agosti, 2024, Ubalozi umetembelewa na Dkt. Susan A. Kolimba aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambaye amewasili nchini Namibia kushiriki Mkutano wa Kimkakati…

Read More