News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi atembelewa na wageni kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania

Leo tarehe 5/3/2024 Mhe. Balozi Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa na wageni kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania ambao ni Dr. Geofrid Chikojo na Bw. Dandord Nyandindi ambao…

Read More

Mabalozi watembelea Ubalozi wa Tanzania kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 4/3/2024 Mabalozi wa Cuba, Malaysia, Misri na Ufaransa wanaoziwakilisha nchi zao nchini Namibia wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara amtembelea Rais wa kwanza wa Namibia Dr Sam Nujoma

Leo tarehe 29/02/2024 Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Sam Nujoma, Rais wa kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa wa Namibia kwa lengo la kujitambulisha tangu kuteuliwa kuwa…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara akutana na Waziri wa Afya wa Namibia

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia, leo tarehe 12/02/2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Kalumbi Shangula, Waziri wa Afya wa Namibia kwa lengo la kujadili maeneo ya ushirikiano…

Read More

Rais Mstaafu Mhe. Dkt Jakaya Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametia saini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Jamhuri ya Namibia nchini, kufuatia kifo cha Rais wa Jamhuri ya…

Read More

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan asaini kitabu cha maombolezo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa Jamhuri ya Namibia Hayati Dkt. Hage G. Geingob. Rais Samia alisaini kitabu hicho katika…

Read More

President Samia Suluhu Hassan offers condolences for the passing of President Hage Geingob

President Samia Suluhu Hassan has joined a growing list of heads of state in offering the message of condolence following the passing of the Namibia President Hage Geingob.“I am deeply saddened to learn of…

Read More

Timu ya Taifa ya Futsal yaibuka mshindi

Timu ya Taifa ya Futsal imeibuka mshindi kwa magoli 5 kwa 2, dhidi ya timu ya Namibia. Mhe Ceasar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia pamoja na watumishi wa Ubalozi wameshiriki kikamilifu katika…

Read More