News and Events Change View → Listing

Viongozi wahudhuria uapisho wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Namibia

Viongozi mbalimbali wahudhuria uapisho wa Rais Mteule wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Netumbo Nandi - Ndaitwah katika Ikulu ya nchi hiyo iliyopo Jijini Windhoek tarehe 21 Machi, 2025.

Read More

Ubalozi watembelewa na Timu ya Makamanda kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu Tanzania

Leo tarehe 24/03/2025 Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia umepata fursa ya kutembelewa na Timu ya Makamanda kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu Tanzania.Timu hiyo imeongozwa na Kanali Lissu Njoghomi Murra,…

Read More

Mhe. Dkt. Philip Isidor Mpango aambatana na mwenza wake Bibi. Mbonimpaye Mpango katika shughuli ya kumuaga Mhe. Dkt. Sam Nujoma

Leo tarehe 28 Februari, 2025 Mhe. Dkt. Philip Isidor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ameambatana na Mwenza wake Bibi. Mbonimpaye Mpango kushiriki katika shughuli ya kitaifa ya kumuaga…

Read More

Ubalozi watembelewa na (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki (Anayesimamia masuala ya EAC) Mhe. Dennis Londo

Leo tarehe 28 Februari, 2025. Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia umepata fursa ya kutembelewa na Mhe. Dennis Londo (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ( Anayesimamia masuala…

Read More

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango awasili nchini Namibia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek nchini Namibia leo tarehe 27 Februari 2025. Makamu wa Rais…

Read More

Mhe. Balozi ampokea Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM

Leo tarehe 26 Februari, 2025 Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amempokea Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM ambaye amewasili nchini Namibia kuomboleza na wananchi wa…

Read More

Delegates from Tanzania attending a three-day benchmarking visit on Public Diplomacy at the Ministry of International Relations and Cooperation (MIRCO)

A three-member delegation from the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation of the United Republic of Tanzania consisting of Amb. Mindi Kasiga, Head of Government Communication Unit and Ms.…

Read More