News and Events Change View → Listing

Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia atembelea Ubalozi kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 6/3/2024 Mhe. Dkt. Peya Mushelenga , Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia na kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Mzee…

Read More

Viongozi wa Jumuiya ya Diaspora watembelea Ubalozi kusaini kitabu cha maombolezo

Viongozi wa Jumuiya ya Diaspora nchini Namibia wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania…

Read More

Mabalozi waendelea kujitokeza kusaini kitabu cha maombolezo

Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Namibia (Algeria, China, Kenya, Japan, Spain, Ujerumani, Uingereza, Urusi) wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia…

Read More

Mhe. Balozi atembelewa na wageni kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania

Leo tarehe 5/3/2024 Mhe. Balozi Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa na wageni kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania ambao ni Dr. Geofrid Chikojo na Bw. Dandord Nyandindi ambao…

Read More

Mabalozi watembelea Ubalozi wa Tanzania kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 4/3/2024 Mabalozi wa Cuba, Malaysia, Misri na Ufaransa wanaoziwakilisha nchi zao nchini Namibia wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara amtembelea Rais wa kwanza wa Namibia Dr Sam Nujoma

Leo tarehe 29/02/2024 Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Sam Nujoma, Rais wa kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa wa Namibia kwa lengo la kujitambulisha tangu kuteuliwa kuwa…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara akutana na Waziri wa Afya wa Namibia

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia, leo tarehe 12/02/2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Kalumbi Shangula, Waziri wa Afya wa Namibia kwa lengo la kujadili maeneo ya ushirikiano…

Read More

Rais Mstaafu Mhe. Dkt Jakaya Kikwete akitia saini kitabu cha maombolezo

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametia saini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Jamhuri ya Namibia nchini, kufuatia kifo cha Rais wa Jamhuri ya…

Read More