News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi akutana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii Namibia

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Bw. Bornventura Mbidzo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kuzungumzia maeneo ya…

Read More

Mhe. Balozi atembelewa na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Utawala (IUM)

Mhe. Balozi Ceasar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa na Prof. Osmund D. Mwandemele, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Utawala (International University of Management -IUM)…

Read More

Mhe. Balozi atembelewa na Mwambata Jeshi Brg. Gen. Mohamed S. Mohamed

Leo tarehe 12 Disemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa na Brg. Gen. Mohamed S. Mohamed, Mwambata Jeshi Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia. Brg. Gen Mohamed…

Read More

Mhe. Balozi akutana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nje Namibia, pamoja na baadhi ya Wakuu wa Idara

Leo tarehe 12 Disemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Balozi Penda Naanda, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Namibia na baadhi ya Wakuu wa Idara wa Wizara…

Read More

Mhe. Balozi ajumuika na Jumuiya ya Watanzania waishio Kaskazini mwa Namibia kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amejumuika na Jumuiya ya Watanzania waishio Kaskazini mwa Namibia kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Mhe. Balozi amewahakikishia…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara akutana na Mhe. Mwenyekiti wa Baraza la Mkoa wa Kavango West

Tarehe 8 Desemba, 2023 Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Josef Sikongo, Mwenyekiti wa Baraza la Mkoa wa Kavango West kwa lengo la kujitambulisha na kujadili masuala…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara ashiriki katika sherehe ya Siku ya Kumbukizi ya Haki za Binadamu Duniani na Siku ya Haki za Wanawake Namibia

Tarehe 8 Desemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia alishiriki katika sherehe ya Siku ya Kumbukizi ya Haki za Binadamu Duniani na Siku ya Haki za Wanawake Namibia ambayo…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara akutana na Gavana wa Mkoa wa Khomas

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Laura Veendapi McLeod - Katjirua, Gavana wa Mkoa wa Khomas, ambao ni Makao Makuu ya Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili…

Read More