News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi Caesar Waitara atembelewa na Mheshimiwa Jacqueline N. Maongozi, Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Ruvuma

Tarehe 12 Februari 2026 Mhe. Balozi Caesar Waitara alipata fursa ya kutembelewa Ubalozini na Mheshimiwa Jacqueline N. Maongozi, Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Ruvuma, ambaye yupo nchini Namibia kwa ajili…

Read More

H.E. Caesar C. Waitara, High Commissioner of the United Republic of Tanzania to Namibia receives Mr. Leonard Mkude, Accountant General of the Goverment of Tanzania

Today, 12 February 2026, H.E. Caesar C. Waitara had the pleasure of receiving Mr. Leornard Mkude, Accountant General of the Goverment of Tanzania, at the High Commission of Tanzania in Windhoek, Namibia. Mr.…

Read More

H.E. Caesar C. Waitara, High Commissioner of The United Republic of Tanzania to Namibia attends the End-of-Year Diplomatic Greetings at State House in Namibia

On 10 February 2026, His excellency Caesar Chacha Waitara, had the privilege of attending the End-of-Year Diplomatic Greetings at State House in Namibia, hosted by the President of the Republic of Namibia.In…

Read More

Balozi wa Tanzania nchini Namibia, Mhe. Balozi Caesar C. Waitara atembelewa na Balozi wa Namibia nchini Tanzania Mhe. Balozi Gabriel P. Sinimbo

Tarehe 19 Desemba 2025, Mheshimiwa Caesar C. Waitara, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Namibia, alipata fursa ya kutembelewa na Mheshimiwa Gabriel P. Sinimbo, Balozi wa Jamhuri ya Namibia…

Read More

Mhe. Balozi Mohamed B. Beigi amtembelea Mhe. Balozi Caesar C. Waitara

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia, tarehe 28 Novemba 2025 alitembelewa na Mhe. Mohamed B. Beigi, Balozi wa Iran nchini Namibia, katika ofisi za Ubalozi kwa ajili ya…

Read More

Mahafali ya kwanza ya wanafunzi 26 raia wa Namibia

Mahafali ya kwanza ya wanafunzi 26 raia wa Namibia waliokuwa wakijifunza lugha ya Kiswahili kwa njia ya mtandaoni katika ngazi ya awali kwa muda wa wiki 15, yamehitimishwa tarehe 19 Novemba 2025 katika Chuo…

Read More

Ubalozi watembelewa na Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima

Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia tarehe 2 Septemba 2025 umepata heshima ya kutembelewa na Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake  na Wenye Mahitaji Maalum pamoja na…

Read More