News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi ajumuika na Jumuiya ya Watanzania waishio Kaskazini mwa Namibia kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amejumuika na Jumuiya ya Watanzania waishio Kaskazini mwa Namibia kuadhimisha miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Mhe. Balozi amewahakikishia…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara akutana na Mhe. Mwenyekiti wa Baraza la Mkoa wa Kavango West

Tarehe 8 Desemba, 2023 Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Josef Sikongo, Mwenyekiti wa Baraza la Mkoa wa Kavango West kwa lengo la kujitambulisha na kujadili masuala…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara ashiriki katika sherehe ya Siku ya Kumbukizi ya Haki za Binadamu Duniani na Siku ya Haki za Wanawake Namibia

Tarehe 8 Desemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia alishiriki katika sherehe ya Siku ya Kumbukizi ya Haki za Binadamu Duniani na Siku ya Haki za Wanawake Namibia ambayo…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara akutana na Gavana wa Mkoa wa Khomas

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Laura Veendapi McLeod - Katjirua, Gavana wa Mkoa wa Khomas, ambao ni Makao Makuu ya Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara amtembelea Naibu Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia Mh. Jenelly Matundu

Mh. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Jenelly Matundu (Mb), Naibu Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kuzungumzia masuala…

Read More

Mhe. Balozi amtembelea Balozi wa DRC nchini Namibia

Leo tarehe 16/11/2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Mulum'ajirwa N'owabo Katoto, Balozi wa DRC nchini Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kusalimiana.

Read More

Mhe. Balozi atembelewa na Mjane wa Hayati Dkt. Theo Ben Gurirab

Mhe. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa Ubalozini na Bi. Joan Guriras (Mjane) wa Hayati Dkt. Theo Ben Gurirab aliyekuwa Waziri wa Kwanza wa Mambo ya Nje, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge la…

Read More

Mhe. Balozi akutana na uongozi wa Mamlaka ya Bandari Namibia (NAMPORT)

Leo tarehe 8 Novemba, 2023, Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na uongozi wa Mamlaka ya Bandari Namibia (NAMPORT) kwa lengo la kujitambulisha na kujadiliana masuala mbalimbali…

Read More