News and Events Change View → Listing

Mhe. Balozi amtembelea Balozi wa DRC nchini Namibia

Leo tarehe 16/11/2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Mulum'ajirwa N'owabo Katoto, Balozi wa DRC nchini Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kusalimiana.

Read More

Mhe. Balozi atembelewa na Mjane wa Hayati Dkt. Theo Ben Gurirab

Mhe. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa Ubalozini na Bi. Joan Guriras (Mjane) wa Hayati Dkt. Theo Ben Gurirab aliyekuwa Waziri wa Kwanza wa Mambo ya Nje, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge la…

Read More

Mhe. Balozi akutana na uongozi wa Mamlaka ya Bandari Namibia (NAMPORT)

Leo tarehe 8 Novemba, 2023, Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na uongozi wa Mamlaka ya Bandari Namibia (NAMPORT) kwa lengo la kujitambulisha na kujadiliana masuala mbalimbali…

Read More

Mhe Balozi Waitara ashiriki Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Maji wa Afrika (AMCOW)

Mhe, Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ashiriki Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Maji ( AMCOW ) ambao umeanza tareh 6-11 Novemba 2023, Mjini Swakopmund. Mhe. Balozi amemuwakilisha Mhe. Maryprisca…

Read More

Mhe. Balozi akutana na Gavana wa Mkoa wa Erongo

Leo tarehe 7 Novemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Nevile Andre, Gavana wa Mkoa wa Erongo, nchini Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili namna ya…

Read More

Kunadi bidhaa za Tanzania

Leo tarehe 25 Oktoba, 2023 Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Metro Bwa. Eswee van Wyk kwa lengo la kunadi bidhaa zinazopatikana Tanzania ili…

Read More

Kueneza Kiswahili nchini Namibia

Leo tarehe 25 Oktoba 2023, Mhe Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na timu ya wataalam wa Maktaba kutoka Chuo Kikuu cha Namibia kwa lengo la kusimika mfumo wa uazimishaji vitabu vya…

Read More

Diplomasia ya uchumi

Leo tarehe 23 Oktoba, 2023, Balozi wa Tanzania nchini Namibia Mh. Caesar Waitara amefanya mazungumzo na Bw. Hendrik Boshoff, mwekezaji kutoka Namibia mwenye nia ya kuwekeza katika machinjio ya kisasa na ranchi…

Read More