News and Events Change View → Listing

Mhe Balozi Waitara ashiriki Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Maji wa Afrika (AMCOW)

Mhe, Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ashiriki Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Maji ( AMCOW ) ambao umeanza tareh 6-11 Novemba 2023, Mjini Swakopmund. Mhe. Balozi amemuwakilisha Mhe. Maryprisca…

Read More

Mhe. Balozi akutana na Gavana wa Mkoa wa Erongo

Leo tarehe 7 Novemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Nevile Andre, Gavana wa Mkoa wa Erongo, nchini Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili namna ya…

Read More

Kunadi bidhaa za Tanzania

Leo tarehe 25 Oktoba, 2023 Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Metro Bwa. Eswee van Wyk kwa lengo la kunadi bidhaa zinazopatikana Tanzania ili…

Read More

Kueneza Kiswahili nchini Namibia

Leo tarehe 25 Oktoba 2023, Mhe Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na timu ya wataalam wa Maktaba kutoka Chuo Kikuu cha Namibia kwa lengo la kusimika mfumo wa uazimishaji vitabu vya…

Read More

Diplomasia ya uchumi

Leo tarehe 23 Oktoba, 2023, Balozi wa Tanzania nchini Namibia Mh. Caesar Waitara amefanya mazungumzo na Bw. Hendrik Boshoff, mwekezaji kutoka Namibia mwenye nia ya kuwekeza katika machinjio ya kisasa na ranchi…

Read More

Balozi akutana na Diaspora, Namibia

Leo tarehe 19 Oktoba, 2023, Balozi wa Tanzania nchini Namibia Mh. Caesar Waitara amekutana na Jumuiya ya Watanzania waishio Namibia kwa dhumuni la kufahamiana na wanajumuiya hao.

Read More

Uwasilishaji rasmi wa hati za utambulisho

Leo tarehe 19 Oktoba 2023, Balozi wa Tanzania nchini Namibia Mh. Caesar Chacha Waitara amewasilisha rasmi hati za utambulisho kwa Mh. Dkt. Hage Geingob, Rais wa Jamhuri ya Namibia. 

Read More

Uwasilishaji rasmi nakala wa hati za Utambulisho

Leo Tarehe 18 Oktoba 2023, Balozi Mteule wa Tanzania nchini Namibia Mh. Caesar Waitara amewasilisha rasmi nakala ya hati za utambulisho kwa Mh. Netumbo Nandi-Ndaitwah, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

Read More