Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Laura Veendapi McLeod - Katjirua, Gavana wa Mkoa wa Khomas, ambao ni Makao Makuu ya Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili maeneo ya ushirikiano kati ya Tanzania na Namibia.