Mhe. Balozi Caesar. C. Waitara amwakilisha Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb), Waziri wa Maji katika Mkutano wa 12 wa Kamisheni ya Bonde la Mto Zambezi
Leo tarehe 15/5/2025, Mheshimiwa Caesar Chacha Waitara, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Namibia amemwakilisha Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso (Mb), Waziri wa Maji katika Mkutano wa 12 wa…
Read More






