Mhe. Balozi Caesar.C. Waitara akutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Frans Kapofi (Mb), Waziri wa Ulinzi na Masuala ya Wapigania Uhuru wa Namibia (Ministry of Defense and Veteran Affairs)
Leo tarehe 24 Aprili 2025, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Frans Kapofi (Mb), Waziri wa Ulinzi na Masuala ya Wapigania Uhuru (Ministry of…
Read More






