News and Resources Change View → Listing

Mabalozi watembelea Ubalozi kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 7/3/2024 Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Namibia (Congo Brazzaville, Iran na Venezuela) wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha…

Read More

Waziri Mkuu wa Namibia atembelea Ubalozi wa Tanzania kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 7/3/2024 Mhe. Saara Kuugongelwa-Amadhila (Mb), Waziri Mkuu wa Namibia ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia na kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais…

Read More

Mabalozi waendelea kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 6/3/2024 Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Namibia (Afrika Kusini, Indonesia, EU, Libya, Nigeria, Uturuki, Zambia na Zimbabwe) wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini…

Read More

Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia atembelea Ubalozi kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 6/3/2024 Mhe. Dkt. Peya Mushelenga , Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia na kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Mzee…

Read More

Viongozi wa Jumuiya ya Diaspora watembelea Ubalozi kusaini kitabu cha maombolezo

Viongozi wa Jumuiya ya Diaspora nchini Namibia wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania…

Read More

Mabalozi waendelea kujitokeza kusaini kitabu cha maombolezo

Mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Namibia (Algeria, China, Kenya, Japan, Spain, Ujerumani, Uingereza, Urusi) wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia…

Read More

Mhe. Balozi atembelewa na wageni kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania

Leo tarehe 5/3/2024 Mhe. Balozi Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa na wageni kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa ya Tanzania ambao ni Dr. Geofrid Chikojo na Bw. Dandord Nyandindi ambao…

Read More

Mabalozi watembelea Ubalozi wa Tanzania kusaini kitabu cha maombolezo

Leo tarehe 4/3/2024 Mabalozi wa Cuba, Malaysia, Misri na Ufaransa wanaoziwakilisha nchi zao nchini Namibia wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia ili kusaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha…

Read More