Leo tarehe 7 Novemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Nevile Andre, Gavana wa Mkoa wa Erongo, nchini Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili namna ya kushirikiana kati ya Mkoa wa Erongo na Mikoa ya Dar, Manyara na Mwanza.

  • Mhe Balozi  Waitara akimkabidhi Mhe Gavana Andre zawadi ya bidhaa kutoka Tanzania zikiwemo mvinyo wa Dodoma, konyagi, kahawa pamoja na majani ya chai kama sehemu ya kuzitangaza bidhaa hizo katika Mkoa wa Erongo.Mhe Balozi Waitara akimkabidhi Mhe Gavana Andre zawadi ya bidhaa kutoka Tanzania zikiwemo mvinyo wa Dodoma, konyagi, kahawa pamoja na majani ya chai kama sehemu ya kuzitangaza bidhaa hizo katika Mkoa wa Erongo.