News and Resources Change View → Listing

Mhe. Balozi Caesar Waitara akutana na Gavana wa Mkoa wa Khomas

Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Laura Veendapi McLeod - Katjirua, Gavana wa Mkoa wa Khomas, ambao ni Makao Makuu ya Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili…

Read More

Mhe. Balozi Caesar Waitara amtembelea Naibu Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia Mh. Jenelly Matundu

Mh. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Jenelly Matundu (Mb), Naibu Waziri wa Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kuzungumzia masuala…

Read More

Mhe. Balozi amtembelea Balozi wa DRC nchini Namibia

Leo tarehe 16/11/2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amemtembelea Mhe. Mulum'ajirwa N'owabo Katoto, Balozi wa DRC nchini Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kusalimiana.

Read More

Mhe. Balozi atembelewa na Mjane wa Hayati Dkt. Theo Ben Gurirab

Mhe. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ametembelewa Ubalozini na Bi. Joan Guriras (Mjane) wa Hayati Dkt. Theo Ben Gurirab aliyekuwa Waziri wa Kwanza wa Mambo ya Nje, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge la…

Read More

Mhe. Balozi akutana na uongozi wa Mamlaka ya Bandari Namibia (NAMPORT)

Leo tarehe 8 Novemba, 2023, Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na uongozi wa Mamlaka ya Bandari Namibia (NAMPORT) kwa lengo la kujitambulisha na kujadiliana masuala mbalimbali…

Read More

Mhe Balozi Waitara ashiriki Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Maji wa Afrika (AMCOW)

Mhe, Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ashiriki Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Maji ( AMCOW ) ambao umeanza tareh 6-11 Novemba 2023, Mjini Swakopmund. Mhe. Balozi amemuwakilisha Mhe. Maryprisca…

Read More

Mhe. Balozi akutana na Gavana wa Mkoa wa Erongo

Leo tarehe 7 Novemba, 2023, Mhe. Caesar C. Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amekutana na Mhe. Nevile Andre, Gavana wa Mkoa wa Erongo, nchini Namibia kwa lengo la kujitambulisha na kujadili namna ya…

Read More