Leo tarehe 15/06/2024, Mhe. Caesar Waitara, Balozi wa Tanzania nchini Namibia amefanya kikao kazi na Jumuiya ya Watanzania waishio nchini Namibia. Lengo lilikua ni kujadili masuala mbalimbali yanayowahusu wanajumuiya hao.
Get latest updates from the High Commission in Your Inbox