Ubalozi umeendelea kutekeleza Diplomasia ya Uchumi kwa kufanya maonesho ya bidhaa za Tanzania katika mkoa wa Oshana, maonesho hayo yalifanyika kuanzia tarehe 29 April, hadi tarehe 1 Mei, 2022 katika kituo cha biashara cha Gwashamba, mkoa wa Oshana.
Maonesho ya biashara mkoani Oshana
Balozi wa Tanzania nchini Namibia Mhe. Dkt. Modestus Kipilimba akiwasili katika kituo cha Biashara cha Gwashamba Mall kilichopo mkoani Oshana.


