Ubalozi umeendelea kutekeleza Diplomasia ya Uchumi kwa kufanya maonesho ya bidhaa za Tanzania katika mkoa wa Oshana, maonesho hayo yalifanyika kuanzia tarehe 29 April, hadi tarehe 1 Mei, 2022 katika kituo cha biashara cha Gwashamba, mkoa wa Oshana.

  • Balozi wa Tanzania nchini Namibia akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa diaspora kanda ya Kaskazini Bi, Moza alipotembelea kituo cha biashara.Balozi wa Tanzania nchini Namibia akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa diaspora kanda ya Kaskazini Bi, Moza alipotembelea kituo cha biashara.